AINA MBILI ZA MAWAZO.
- Get link
- X
- Other Apps
➕MTU MWENYE MAWAZO CHANYA.
➖MTU MWENYE MAWAZO HASI.
----------------------
➖MTU MWENYE MAWAZO HASI.
----------------------
➕Mtu mwenye mawazo chanya, siku zote huwa ni mwenye Ratiba na mipango.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, siku zote huwa ni mwenye visingizio.
.
➕Mtu mwenye mawazo chanya, siku zote yeye mwenyewe ni sehemu ya majibu.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, daima ni mtu mwenye kulalamikia matatizo.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, siku zote huwa ni mwenye visingizio.
.
➕Mtu mwenye mawazo chanya, siku zote yeye mwenyewe ni sehemu ya majibu.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, daima ni mtu mwenye kulalamikia matatizo.
➕Mtu mwenye mawazo chanya, katika kila jambo gumu huiona fursa.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, katika kila fursa kwake ni jambo gumu.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, katika kila fursa kwake ni jambo gumu.
➕Mtu mwenye mawazo chanya, hutafuta njia ya utatuzi wa matatizo.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, huiona njia ya utatuzi kuwa ndio tatizo.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, huiona njia ya utatuzi kuwa ndio tatizo.
➕Mtu mwenye mawazo chanya, daima huzidisha marafiki.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, siku zote huzidisha maadui.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, siku zote huzidisha maadui.
➕Mtu mwenye mawazo chanya, siku zote hutenda jambo linalokubalika na wengi.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, hukata tamaa ya kufanya jambo linalokubalika na wengi.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, hukata tamaa ya kufanya jambo linalokubalika na wengi.
➕Mtu mwenye mawazo chanya, siku zote hutatua matatizo kwa kuvuta subira.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, daima huzidisha matatizo kwa hasira zake.
➖Mtu mwenye mawazo hasi, daima huzidisha matatizo kwa hasira zake.
----------------------
(Jitahidi kuwa mtu mwenye mawazo chanya)
💡💡💡💡💡💡
www.kazingati.blogspot.com
Jb Kazingati.
💡💡💡💡💡💡
www.kazingati.blogspot.com
Jb Kazingati.
💡💡💡💡💡💡
- Get link
- X
- Other Apps
Popular posts from this blog
SIRI 31 ZA MAFANIKIO KATIKA MAISHA
SIRI YA KWANZA (1). Furahia kazi uIFANYAYO bila MANUNGUNIKO. KWANI manunguniko pekee yatakufanya uchoke Na KAMWE hayatakuruhusu kufanya jambo sahihi. Lakini ikiwa utaifanya kazi mfano wa rafiki kwako utaona mafanikio. NI mfano wa mbwa, ambaye atakayekufuata kila mahali. SIRI YA PILI (2). Jaribu kufanya kazi yako vizuri zaidi Kwa moyo wako. na Si tu kwamba huna budi kufanya hivyo. Unahitaji kuwa Na imani kwa kazi yako. Maji yenye mafuriko dhaifu, HUTOSHA Kumwagilia nusu ya bustani. SIRI YA TATU (4). Kubaliana na kila kitu Kama vilivyo. utashi pekee, hakuna kitu utakachobaDIlisha. utashi, hauzuii kuvuma kwa upepo na hauyeyushi theluji kuwa maji. Ikiwa unataka kufanya mambo bora zaidi kuliko kama yalivyo, basi kabiliana navyo kama vilivyo. SIRI YA NNE (4). Jifunze kuwa MWENYE furaha. Usiruhusu wengine kuamua kwa ajili ya furaha yako. Wewe mwenyewe kuwa kiongozi wa kiwanda cha furaha yako. SIRI YA TANO (5). weka huru akili yako kama mawingu meupe yatandaAyo mb...
MANENO KUNTU... JISOMEE MWENYEWE.
------------------- MPENZI MFUATILIAJI WA BLOG YA HEKIMA ZA LEO, KARIBU KWENYE BLOG YANGU KWA JINA LA (HEKIMA ZA LEO) INAYOKULETEA HEKIMA ZAKE MBALIMBALI, KUWA NAMI KATIKA MFULULIZO WA HEKIMA HIZI NA UNUFAIKE NA HEKIMA PAMOJA NA BUSARA ILI UFIKIE MALENGO KWA NASAHA UTAKAZOJIFUNZA KUPITIA BLOG HII. 1. HAKUNA KICHANGA KIZALIWACHO NI CHENYE MIAKA 30! 2. HAKUNA KITABU KIANZACHO NA UKURASA WA 267! 3. NA HAKUNA PUNJE IKUWAYO KWA SURA YA MTI WENYE MIAKA 40! 4. PIA HAKUNA MFANYA KAZI NDANI YA USIKU MMOJA ANASTAFU! 5. NA PIA HAKUNA ASKARI HATA MMOJA NIMJUAYE AMBAYE SIKU YA KUFUATA BAADA YA KUJIUNGA JESHI AMEKUWA JENERANI! ☀KWA AJILI YA UKAMILIFU WA MAFANIKIO YA KILA MOJA YA MAMBO HAYO, LAZIMA KICHUKUE MUDA NA KUTUMIA NGUVU! ☀KWA HAKIKA HII NDIO KANUNI YA MAZINGIRA! KWANI KILA MDUARA UNA MZUNGUKO WA KUFIKIA UKAMILIFU! HIVYO BASI USITARAJIE KUFIKIA LENGO LA MWISHO KWA JITIHADA CHACHE NA ZA USIKU MMOJA... ☀KWANI HATA WEWE HAUKO NJE YA MZUNGUKO HUU. ------------------...
MAMBO 7 MUHIMU KWA MWENYE NDOTO YA KUWA MFANYABIASHARA MKUBWA.
---------------------------- 1. ANZA KUCHUKUA HATUA YA HARAKA YA KUTIMIZA WAZO LAKO AU KILE UNACHOTAKA KUFANYA. USISUBIRI KESHO. 2. FANYA WAZO LAKO LA BIASHARA AU UWEKEZAJI KUWA SEHEMU YA MAISHA YAKO YA KILA SIKU. 3. TAFUTA WATU WALIOFANIKIWA KATIKA BIASHARA; ILI WAWE MSAADA KWAKO NA KUFANYA WAZO LAKO LA BIASHARA KUWA HALISI. 4. ONGEZA UJUZI WAKO KWA KUCHUKUA HATUA YA KUJIFUNZA MAMBO MAPYA KILA SIKU. 5. JIFUNZE ZAIDI NAMNA BORA YA KUTANGAZA BIASHARA YAKO SOKONI NA ZAIDI KUWASILIANA NA WATEJA WAKO. 6. WEKA NA WEKEZA AKIBA YA FEDHA ZAKO ILI UZITUMIE KAMA MTAJI HAPO BAADAE. 7. USIKOPE FEDHA KIASI KIKUBWA; KAMA NDIO UNAANZA BIASHARA NA KAMA HUJAFAHAMU ZAIDI SOKO LA BIASHARA HUSIKA UNAYOTAKA KUFANYA. ---------------------------- DAIMA KUMBUKA KUWA UJASIRIAMALI SIO KAZI! UJASIRIAMALI NI MFUMO WA MAISHA.

Comments
Post a Comment